Sunday, April 20, 2014

SIKIA HII KUTOKA KWADOGO JANJA;
Dogo: Mhudumu niletee bia
Mhudumu: nikuletee chupa ngapi?
Dogo: Kwanza niletee chupa kumi
Mhudumu: Sawa naleta
dogojanja baada yakupiga bia zake akawa anasepa taratibuu


Mhudumu: Kaka tunaomba ulipe pesa za bia ulizokunywa
Dogo: Kwani wewe ujasikia kwenye redio kama watoto tunatakiwa kupewa bia bure kwakua haziruhusiwi kuuzwa kwa wenye umri chini ya miaka kumi na nane?
Mhudumu: Eeenhe!!!




0 comments:

Post a Comment