Tuesday, April 1, 2014

MANCHESTER UNITED YAJIKONGOJA TARATIBU KAMA KOBE
Manchester united yalazimishwa sare na Bayern Munich kwa kufungana gori moja kwa moja (1-1). Lakini pia wakati mchezo huo ukiwa unaendelea mchezaji Bastian Schweinsteiger wa Bayern Munich alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Wayne Rooney.

0 comments:

Post a Comment