MANCHESTER UNITED YAJIKONGOJA TARATIBU KAMA KOBE
Manchester united yalazimishwa sare na Bayern Munich kwa kufungana gori moja kwa moja (1-1). Lakini pia wakati mchezo huo ukiwa unaendelea mchezaji Bastian Schweinsteiger wa Bayern Munich alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Wayne Rooney.
Category: SPORTS







0 comments:
Post a Comment