Tuesday, April 1, 2014

COMEDY

WATOTO WA KIDIGITAL

Mtoto: Baba niletee glasi ya maji
Baba: we mtoto  unakichaa nini? kachukue mwenyewe!
Mtoto: Bwana niletee!
Baba: Usinisumbue, ntakuja kukupiga makofi!
Mtoto: basi ukija kunipiga makofi njoo na glasi ya maji....!

0 comments:

Post a Comment