Category: SPORTS
Tuesday, April 1, 2014
SPORTS
LIVERPOOL BADO WAPO JUU
Liverpool yaipa kichapo klabu ya Tottenham hotspurs kwa kuifunga mabao 4-0 katika uwanja wa Anfield. Ushindi huo umeifanya liverpool kuwa katika nafasi nzuri kwa kupata alama 71, Alama ambazo zinawafanya wawakaribie wapinzani wao wa klabu ya chelsea kwa kuzidiwa alama mbili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 comments:
Post a Comment