Tuesday, April 1, 2014

SPORTS

LIVERPOOL BADO WAPO JUU
Liverpool yaipa kichapo klabu ya Tottenham hotspurs kwa kuifunga mabao 4-0 katika uwanja wa Anfield. Ushindi huo umeifanya liverpool kuwa katika nafasi nzuri kwa kupata alama 71, Alama ambazo zinawafanya wawakaribie wapinzani wao wa klabu ya chelsea kwa kuzidiwa alama mbili.

0 comments:

Post a Comment