This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, March 27, 2014

BOMOA BOMOA YALETA VILIO



Wakazi wa tandika maeneo ya devis kona wavunjiwa nyumba. Baadhi ya wafanya biashara waliokuwa wamepanga katika nyumba zilizovunjwa waingia hasara. Tukio hilo lilifanyika kwakuwa wenye nyumba hao walikuwa wameshalipwa pesa na serikali lakini walivyoona serikali imekaa kimya kwa mda mrefu kidogo wakaisi watakuwa wamejisahau. kutokana na sababu hiyo wananchi hao waliendelea kukaa na kupangisha nyumba zao. Ila siku ya vunjavunja ilipofika imewahadhili. Lakini pia siku hiyo ilikuwa neema kwa mateja kwani walikuwa wakisaidia bomoa bomoa ili nao wapate kuondoka na mali za wafanyabiashara.

Wednesday, March 26, 2014

WAKUSOMA HII NI HABARI YENU

KUSOMA SI KUPANDA VIDATO
Wanafunzi someni muelewe na siyo kukalili kwasababu masomo siyo mashairi

Saturday, March 22, 2014

PREMIER

Chelsea yaichapa Arsenal  6 - 0



Thursday, March 20, 2014

LIVERPOOL





Liverpool bado wanahitaji kumsajili mlinzi wa klabu ya Barcelona fc Adriano, Mchezaji ambaye ana umri wa miaka 29, kwa kiasi cha pauni milioni 6. kwa lengo la kuimarisha timu yao

Sunday, March 16, 2014

SAMUEL ETOO

Aisababishia maumivu makali klabu ya manchester united baada ya kuichapa 'Hat-TricK' Na kuiwezesha klabu yake kupata pointi 49, huku wakiwa nyuma kwa pointi mbili na vinara wa ligi hiyo Arsenal.

ROONEY

Moyes awafunga vidomo wanaojadili mshahara wa wyne rooney

"alisikika akisema kama kocha mkuu wa klabu ya mancherster united bwana David Moyes akiwa ameridhia na kiwango anacholipwa mchezaji huyo mara baada tu ya kusaini mkataba mpya"