This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Sunday, April 20, 2014

LAANA TUPU
Tazama hawa watoto wakike wakilana uroda wao kwa wao, ama kweli ulimwengu tuliokuwa nao si mzuri. Hivi ni kweli wanachokifanya mabinti hawa ni sahihi..?? 
Haya ndiyo mambo ya walimwengu.

SIKIA HII KUTOKA KWADOGO JANJA;
Dogo: Mhudumu niletee bia
Mhudumu: nikuletee chupa ngapi?
Dogo: Kwanza niletee chupa kumi
Mhudumu: Sawa naleta
dogojanja baada yakupiga bia zake akawa anasepa taratibuu


Mhudumu: Kaka tunaomba ulipe pesa za bia ulizokunywa
Dogo: Kwani wewe ujasikia kwenye redio kama watoto tunatakiwa kupewa bia bure kwakua haziruhusiwi kuuzwa kwa wenye umri chini ya miaka kumi na nane?
Mhudumu: Eeenhe!!!




MANCHESTER UNITED YAKALISHWA NA EVERTON BAADA YA KUPEWA KICHAPO CHA MABAO MAWILIBILA

      2-0     

LIVER POOL YATUA UBINGWA DHIDI YA NORWICH CITY KWA KUIFUNGA MABAO MATATU KWA MBILI

 
Norwich City    2-3Liverpool




Sunday, April 13, 2014

AYA AYA AYA AYA KUMEKUCHAAA

Wale wanaoinua vipaji kipaji ndiyo hiki hapa. kijana pekee mwenye uwezo wa kunyanyua vitu vizito kutokana na uhodari wake aliokuwa nao lakini cha kusikitisha mpaka sasa hajapata mtu wa kumuwezesha kutimiza ndoto zake. Lakini kama tutatazama kwa upande wa pili ni hatari kama atakosa shughuli ya kufanya kwa maana anaweza akawa mkabaji ili akidhi mahitaji yake. wadau mpooo  muwezesheni huyu kijana kabla ajajiwezesha.


CHENGA TUPU

Eti wanasema Elimu ni uhai mbona kila siku wasomi ndiyo wanaongoza kufa alafu sisi mambumbu bado tunatesa tu, hapa asomi mtu!! Gambe kwa kwenda mbelee.
ULEVI NDIYO ULIONIFANYA NIZARAURIKE


Katika maisha yangu sikuwahi kufikiria kuwacha pombe kwakuwa sikuona starehe itakayo nifaa zaidi ya pombe.Wapo wengi niliokuwa nikiwakwaza kutokana na tabia yangu ya ulevi hususa ni wazazi wangu pamoja na ndugu zangu. Kwakuwa nilisha athiriwa na tabia hiyo, ilifika kipindi mpaka sikuona hata umuhimu wa kuwa na mke nakuhisi starehe pekeekwangu ni pombe. Kilichonifanya niache pombe ni hiki:-
Nakumbuka siku moja nililewa sana kiasi ambacho hata kutembea nilikuwa nashindwa, mbaya zaidi ilikuwa ni mida ya saa sita za usiku. Hivyo nilikuwa nikijikokota kuelekea nyumbani kwa ajili ya kupumzika. Lakini sikufanikiwa kufika nyumbani kwa usiku ule kutokana na hali niliyokuwa nayo hivyo nilijikuta nimeanguka chini na kupitiwa na usingizi.
Asubuhi nilivyoamka pombe ilikuwa imeshanitoka hivyo ilinibidi nisimame na kutaka kuanza safari yangu. Kabla sijaondoka eneo lile niliisi kuna utofauti mkubwa katika mwili wangu. Tofauti hizo niliziona hasa sehemu za makalio yangu kwakua kulikuwa kama na majimaji yenye kuteleza. Nilivyojikagua vizuri niliweza kujua yale majimaji yalikuwa ni manii. Hivyo niliweza kubaini kuwa kipindi kile nilichokua nimelala kuna watu walikuja na kuniingilia kinyume na maumbile. Nguvu za miguu ziliniishia ghafla na kuketi chini kwa mda, lakini niliona bora nijikokote na kuelekea nyumbani ili watu wengine wasije kujua kilichonikuta.
Siku nzima nilishinda ndani huku nikiwa na mawazo juu ya tukio nililofanyiwa. Hali hiyo ilinifanya nibadilike na kumrudia mungu wangu na kuachana kabisa na masuala ya pombe.
Baada ya mwezi kupita wadogo zangu wa kiume walikuwa wakijisifia mbele yangu kuwa wao ndiyo walionifanyia mchezo ule wa kunilawiti. Tena walisema tumefanya vile kwa makusudi ili niache pombe. Roho iliniuma sana na nilitamani hata kuwa uwa ndugu zangu. Lakini kadri mazungumzo yalivyokuwa yakiendelea waliniambia ukweli kuhusu tukio lile, kuwa hakuna walichonifanya ila walinimwagia majimaji ya mayai ambayo yanafana na manii.
Sikuamini kwa waliyoyasema lakini ilinibidi ni kubaliane nao kwakuwa sikuwahi kumsimulia yeyote kuhusu yakiyonikuta ila waliniona nimeacha pombe ghafla tu. Sikutaka kuwalaumu kwa walichokifanya ila niliwashukuru kwakuwa ilikuwa kama dawa ya kuacha ulevi kwa upande wangu.