Tuesday, April 1, 2014

BEKI TATU ATOA KALI




Mama mwenyenyumba: We Frida mbona hivi vijiti vya kuchokonoa meno vimekwisha haraka?
Dada wa kazi: Mimi mwenyewe sielewi labda uwaulize wanao, mana mimi nikimaliza kuchokonoa meno yangu huwa navirejesha kwenye kikopo chake!!
Mama mwenyenyumba: Heeeee!!!!

0 comments:

Post a Comment