BEKI TATU ATOA KALI
Mama mwenyenyumba: We Frida mbona hivi vijiti vya kuchokonoa meno vimekwisha haraka?
Dada wa kazi: Mimi mwenyewe sielewi labda uwaulize wanao, mana mimi nikimaliza kuchokonoa meno yangu huwa navirejesha kwenye kikopo chake!!
Mama mwenyenyumba: Heeeee!!!!
0 comments:
Post a Comment